Events

KARIBU KATIKA KONGAMANO LA WANANDOA/WALIO KATIKA SAFARI YA KUINGIA KATIKA NDOA 2013 HAPA NYUMBANI SINGIDA

MAHALI: SOCIAL HALL — RC SINGIDA
SAA: 5:00 - 10:30 JIONI ( kutakuwa na chakula cha mchana pamoja na kinywaji)

COUPLES 100 ZA KWANZA ZITAPEWA ZAWADI MAALUMU KWA AJILI YA VALENTINE DAY!

TAREHE YA MWISHO KUJIANDIKISHA: 25.01.2013 USIKOSE

Wanawake Mashujaa Tanzania inapenda kukupa habari njema wewe mume/mke au nyie wachumba mnaotegemea kuingia kwenye ndoa na yeyote yule ambaye anafikiria siku moja kuingia katika ndoa kutakuwa na siku yenu tarehe 9/2/2013. Wasemaji maarufu kutoka sehemu mbalimbali Tanzania watakuwepo, hii ni kwa mara ya kwanza kutokea mkoani Singida sio ya kukosa mtaarifu jirani yako, shoga yako, shemeji, wifi wote mnakaribishwa.

Kiingilio Wawili(double) 30,000/= na
mmoja(single) 15,000/= chakula na viburudisho

Usisahau rangi ya siku ni NYEKUNDU NA NYEUPE. (Kwa wadada kitenge kitapendeza zaidi)
Zawadi zitatolewa mlangoni kwa couples (wapendanao) zitakazokuwa zimependeza zaidi. Pia kutakuwepo na zulia jekundu kwa ajili ya kuchukulia picha kwa wale watakaopendeza zaidi.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na
Diana D. Shirima
Mwanzilishi - Wanawake Mashujaa Tanzania
Simu namba. . +255 766 44 57 33 / 682 622 626 / 0713 20 50 47
didasdiana@gmail.com
www.wanawakemashujaatanzania.blogspot.com

Mr. Patrick Mosha +255 787 99 71 99
patmo81@yahoo.com

No comments:

Post a Comment