Monday, December 3, 2012

FOMU YA USAJILI YA WANAWAKE MASHUJAA TANZANIA



WANAWAKE MASHUJAA TANZANIA
P.O. Box 1873, Arusha – Tanzania. Tel. +255 682 622 626 / +255 766 445 733
 

FOMU YA USAJILI – Taasisi ya  Wanawake Mashujaa Tanzania

“Kama ndio - Karibu tuungane pamoja”

TAFADHALI JAZA FOMU HII KUWA UMEKUBALIANA:
JINA: ……………………………………….
SIMU: ………………………………............
ANWANI: …………………………………
BARUA PEPE: …………………………….
UMRI: …………………………..................
KAZI: ……………………………...............
JINSIA: ......................................................
MIAKA YA NDOA/MAHUSIANO: …………………………
IDADI YA WATOTO: …………………………………………

1.         Ni  mada gani utapenda  tuzungumzie/jadili  zaidi  (Orodhesha kwa           mpangilio)
            (a)       ……………………………………………………………………………………….
            (b)       ……………………………………………………………………………………….
            (c)       ……………………………………………………………………………………….

2.         Mara ulipopata taarifa ya Taasisi hii, Je? umefanya uamuzi wa  yafuatayo,     weka  alama ya     kwa yale ambayo ni sahihi:-

            (a)       …………….Uliamua kubadili tabia na kuwa shujaa mwaminifu?
            (b)       …………….Uliwaza kuwa ipo siku utakuwa Kiongozi wa jamii  yako?
            (c)       …………….Ulijua wewe ni wa thamani na Mwenzi/Mume                                                              uliye naye ni zawadi kutoka kwa Mungu?
            (d)       ……………Uliwaza kuwa ndoa uliyo nayo ni ya kuitunza sana na                    umepewa jukumu kubwa sana la kulea mume/mke na watoto wako vizuri?

3.         Utapendelea tuwe na Waalimu tofauti tofauti ili kujifunza mambo mazuri kuhusu malezi bora ya ndoa na watoto wetu? Kama ndiyo (Orodhesha  mambo matatu ambayo utapenda kujifunza)
            (a)       ……………………………………………………………………………………….
            (b)       ……………………………………………………………………………………….
            (c)       ……………………………………………………………………………………….

4.         Utapenda mada zingine zihusishwe? Kama ndiyo ni mada zipi? (Orodhesha        kwa mpangilio)
            (a)       ……………………………………………………………………………………….
            (b)       ……………………………………………………………………………………….
            (c)       ……………………………………………………………………………………….
            (d)       ……………………………………………………………………………………….

5.         Unalinganisha vipi mguso mzima wa Taasisi hii? Sehemu ambayo ni sahihi        tafadhali weka alama ya 
            (a)       ………………………….Nzuri kupindukia
            (b)       ………………………….Nzuri sana
            (c)       ………………………….Nzuri
            (d)       ………………………….Wastani
            (e)       ………………………….Siyo mbaya sana
            (f)        ………………………….Ni mbaya

6.         Elezea ni nini uliona kabla ya kuanza mahusiano na baada ya kuanza       mahusiano hadi sasa.

            …………………………………………………………………………………………………
            …………………………………………………………………………………………………
            …………………………………………………………………………………………………
            …………………………………………………………………………………………………
            …………………………………………………………………………………………………
            …………………………………………………………………………………………………
 …………………………………………………………………………………………………
......................................................................................................................................................
        
  N:B Taarifa hizi zitatusaidia katika kufahamiana na kujua ni jinsi gani tunaweza kusaidiana wenyewe na jinsi ya kuweza kusaidia wengine ambao tunalengo la kuwafikia.
           
           
           
           






Imetayarishwa na:

Diana Didas Shirima 
(Community Development Officer)
Founder- WANAWAKE MASHUJAA TANZANIA

No comments:

Post a Comment